Wednesday, 27 September 2017

Wabunge Nchini Uganda Watwangana Makonde Bungeni


Nchini Uganda wabunge wamefikia hatua ya kupigana bungeni baada ya kutoelewana juu ya mjadala uliohusu mswada wa mapende kezo ya ukomo wa umri wa kugombea urais nchini humo.

TAZAMA VIDEO HII HAPA CHINI


No comments:

Post a Comment

Manchester United yaingiwa na hofu juu ya Jose Mourinho

Ripoti kutoka nchini Uingereza hii jana zinasema klabu ya Manchester United imenza kuwa na hofu juu ya kocha Jose Mourinho kwani anahisiwa ...