Friday, 20 October 2017

TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI KCMC


Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Kilimanjaro Christian Medical Centre (KCMC) anapenda kuwataarifu Waombaji kazi wote walioomba kazi za KCMC kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 26 - 27 Oktoba, 2017 na hatimaye kuwapangia vituo vya kazi Waombaji kazi watakaofaulu usaili huo. Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Kilimanjaro Christian Medical Centre (KCMC) anapenda kuwataarifu Waombaji kazi wote walioomba kazi za KCMC kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 26 - 27 Oktoba, 2017 na hatimaye kuwapangia vituo vya kazi Waombaji kazi watakaofaulu usaili huo. 

KUONA MAJINA YA WALIWOITWA KWENYE KWENYE USAILI.>>>> BONYEZA HAPA

No comments:

Post a Comment

Manchester United yaingiwa na hofu juu ya Jose Mourinho

Ripoti kutoka nchini Uingereza hii jana zinasema klabu ya Manchester United imenza kuwa na hofu juu ya kocha Jose Mourinho kwani anahisiwa ...