Monday, 6 November 2017

Matokeo ya usaili wa Vitendo (Practical) uliofanyika tarehe 06/11/2017-TIA-DSM

Wasailiwa waliochaguliwa (Selected) wanatakiwa kufika katika ofisi za Sekretarieti ya Ajira-Maktaba Kuu ya Taifa, kwa ajili ya usaili wa Mahojiano (Oral) siku ya tarehe 07/11/2017 saa moja kamili asubuhi, wakiwa na vyeti vyao halisi (Original Certificates)

Kuona waliochaguliwa >>>>> BOFYA HAPA

No comments:

Post a Comment

Manchester United yaingiwa na hofu juu ya Jose Mourinho

Ripoti kutoka nchini Uingereza hii jana zinasema klabu ya Manchester United imenza kuwa na hofu juu ya kocha Jose Mourinho kwani anahisiwa ...